Amir Kundecha
Bismillahir Rahmanir Rahiim
TAARIFA
Taarifa rasmi kuhusu hali ya Sheikh Issa Ponda itatolewa leo (Jumapili)
Al'asiri msikiti wa mtambani, jijini Dar-es-salaam. Pamoja na taarifa
hiyo, Amiri wa Baraza Kuu, Sheikh Mussa Kundecha atazungumza na vyombo
vya habari Insha-Allah muda na mahali hapo hapo.
Wabillah Taufiiq
11 Agosti, 2013
0 comments:
Post a Comment