Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Tungini - Chanika, Salehe Kitwana akiwa katika ofisi yake bila wasiwasi.
Mwenyekiti Salehe Kitwana (kulia) akiongea na mwandishi wetu katika ofisi yake yenye ufa.
wiki hii imelinasa jengo
la ofisi ya serikali ya mtaa wa Tungini - Chanika jijini Dar es Salaam
likiwa na ufa mkubwa ukutani huku viongozi wake wakilitumia jengo hilo
bila ya kuwa na
wasiwasi wowote jambo ambalo ni hatari kwa maisha yao.
0 comments:
Post a Comment