Monday, 19 August 2013

EWZ : MTAWA AVAMIWA NA KUJERUHIWA VISIWANI ZANZIBAR

HABARI nilizozipata punde kutoka Zanzibar zinasema Mtawa Mkatoliki ameshambuliwa na kuumizwa vibaya humo katika eneo linalodaiwa kuwa ni jirani kabisa na alipopigwa risasi Padri Mushi na kuuawa.
Chanzo kinadai kuwa ni mbwa wa masister hao kumng'ata kuku
wa majirani ndipo kundi la vijana wenye mapanga na marungu wakamvamia mtawa na kumuumiza.Chanzo:JAMIIFORUM

0 comments:

Post a Comment