Wednesday, 28 August 2013
Ponda asimamisha shughuli Morogoro
Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda jana
alisababisha kusimama kwa shughuli za Serikali wilayani Morogoro baada
ya ofisi kadhaa ikiwamo ya Mkuu wa Wilaya na baadhi ya mitaa kufungwa
ili kupisha kusikilizwa kwa kesi inayomkabili katika Mahakama ya Mkoa wa
Morogoro
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment