Taarifa
ambazo zimetufikia hivi punde zinasema kuwa Askofu Mkuu wa Evangelistic
Assemblies God Tanzania, Moses Kulola amefariki dunia takriban dakika 25
zilizopita.
Kwa mujibu wa taarifa za kuaminika kutoka kwa watu wa
ndani wa familia hiyo, zinaeleza kuwa Askofu Kulola amefariki katika
hospitali ya AMI (African Medical Investments) iliyopo Slipway jijini
Dar es Salaam
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment