Friday, 30 August 2013

FRANCIS CHEKA NI MOTO WA KUOTEA MBALI.....AMGALAGAZA MMAREKANI VIBAYA MNO NA KUCHUKUA UBINGWA WA DUNIA

 Mgeni Rasmi katika Mpambano wa Kimataifa wa kuwani Mkanda wa Ubingwa wa Dunia wa WBU,kati ya Mabondia Francis Cheka wa Tanzania na Phil Williams wa Marekani,Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Mh. Dkt. Fenella Mukangala (mwenye koti jeupe) akimvisha Mkanda wa Ubingwa huo,Bondia Francis Cheka baada ya kumshinda kwa Point Mpinzani wake,katika Mchezo uliomalizika usiku huu kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee,Jijini Dar es Salaam.Kulia ni Bingwa wa Zamani wa Masumbwi,Fransous Bhotha.
 Bondia Francis Cheka wa Tanzania (kushoto) akimrushia makonde makali mpinzani wake,Phil Williams kutoka nchini Marekani wakati wa mpambano wao wa Kimataifa kuwania Mkanda wa Ubingwa wa Dunia wa WBU,uliofanyika usiku huu kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee,Jijini Dar es Salaam.Bondia Francis Cheka ameibuka kidedea baada ya kumchapa mpinzani wake huyo kwa Point.

WABUNGE WATAKA MBIO ZA MWENGE ZIFUTWE


MBIO za Mwenge wa Uhuru nusura ziahirishe shughuli za Bunge baada ya baadhi ya wabunge kutaka zifutwe na hoja hiyo ijadiliwe bungeni.
 
Hata hivyo, suala hilo liligeuka shubiri kwa Waziri wa Nchi, Ofisa ya Rais (Utawala Bora), George Mkuchika, kuzomewa na kurushiwa maneno ya kejeli alipojaribu kuzitetea mbio hizo.

 
Chanzo cha mzozo huo kilitokana na maswali ya mbunge wa Musoma Mjini, Vicent Nyerere (CHADEMA), aliyeihoji serikali kama kuna uwezekano wa kutoukimbiza Mwenge katika maeneo ya watu wasiouhitaji.
 

Zitto Kabwe: Msiwaamini wanasiasa, chama tawala wala wapinzani


Kauli hii ameitoa leo katika kongamano la ufuatiliaji wa uwajibikaji Jamii ambapo yeye alikuwa akiongelea majukumu ya bunge katika kusimamia uwajibikaji.

Mambo mengi aliyoongea yalikuwa ni yenye mwelekeo chanya isipokuwa hili la kutupa tahadhari ya kutowaamini wanasiasa, akisisitiza hata wa upinzani.

Nyuma ya kauli hii kumejificha nadharia nyingi kutegemea na mtu atakavyoipokea.

Kwa maana nyingine, kauli hii inaleta hisia kwamba, hata wale wa chama chake

HUYU NDO SAMAKI WA AJABU ALIYEPATIKANA KAFA KANDO YA BAHARI NCHINI NIGERIA, MDA MCHACHE TU BAADA YA KUTOKEA MCHAFUKO WA BAHARI

whale alpha beach lagos nigeria


A gigantic sea creature was spotted by residents of Alpha Beach in Lagos yesterday.
The dead whale hit the sea shores due to the dangerous impact of Ocean surge on sea creatures.
Lagos State Government earlier in the month announced the upcoming ocean surge that might likely

Thursday, 29 August 2013

CHEKA, PHIL WAPIMA UZITO KWA AJILI YA PAMBANO LA KESHO

Bingwa wa zamani wa dunia, Francois Botha (kushoto) wa Afrika Kusini aliyekuja kushuhudia pambano hilo akiingia ukumbi wa Maelezo.
Cheka akipima uzito.
Williams alifuatia.

MAJAMBAZI YALIYOVAA SARE ZA POLISI YAVAMIA HABIB AFRIICAN BANK NA KUPORA MAMILIONI


Watu wanaodhaniwa kuwa ni Majambazi ambao wamevalia sare za Jeshi la Polisi wamevamia Habib Afriican Bank Kariakoo DSM na kupora kiasi kikubwa cha Fedha.


Jeshi la polisi kanda maalum wamethibitisha kutokea kwa tukio hilo..

Habari  zaidi  baadae

NEWZZZ: ASKOFU MOSES KULOLA AFARIKI DUNIA

Taarifa ambazo zimetufikia hivi punde zinasema kuwa Askofu Mkuu wa Evangelistic Assemblies God Tanzania, Moses Kulola amefariki dunia takriban dakika 25 zilizopita.
Kwa mujibu wa taarifa za kuaminika  kutoka kwa watu wa ndani wa familia hiyo, zinaeleza kuwa Askofu Kulola amefariki katika hospitali ya AMI (African Medical Investments) iliyopo Slipway jijini Dar es Salaam

Wednesday, 28 August 2013

"FAMILIA IMENITENGA BAADA YA KUOA ALBINO'...MUME




KIJANA aitwaye Priscus Mushi, mkazi wa Mbezi jijini Dar ambaye ni muumini wa Kanisa la Efatha linaloongozwa na Mchungaji Josephat Mwingira ameanika masikitiko yake baada ya kutengwa na baadhi ya ndugu kufuatia kuoa mlemavu wa ngozi ‘albino’ aitwaye Tumaini Murungu.

Ponda asimamisha shughuli Morogoro

Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda jana alisababisha kusimama kwa shughuli za Serikali wilayani Morogoro baada ya ofisi kadhaa ikiwamo ya Mkuu wa Wilaya na baadhi ya mitaa kufungwa ili kupisha kusikilizwa kwa kesi inayomkabili katika Mahakama ya Mkoa wa Morogoro

UKATILI!! MTOTO WA MIAKA 6 ANG'OLEWA MACHO CHINA...


Mtoto aliyeng'olewa macho nchini China
Polisi nchini Uchina imetangaza kuwa itatoa zawadi kwa yeyote atakayetoa habari zitakazowasaidia kumkamata mama mmoja ambaye anashukiwa kumng'oa macho mvulana mwenye umri wa miaka sita.
Shambulio hilo linasemekana kutokea tarehe ishirini na nne mwezi huu katika eneo na Fenxi, iliyoko katika mkoa wa Shanxi.
Mvulana huyo anasemekana alikwenda kucheza na watoto wengine lakini wazazi wake

BASI LA HOOD LAUA MTU MMOJA NA KUJERUHI 15




Mtu mmoja amefariki dunia na 15  wamejeruhiwa baada ya basi  la Kampuni ya Hood  likitokea kilombero kwenda jijini  Dar es salaam kumgonga  mtembea kwa miguu na kisha kuacha njia na kupinduka katika eneo la Kiembeni  Mikese Mkoani  Morogoro.
  

Tuesday, 27 August 2013

HUYU NDO MDADA MTANZANIA ALIYE KAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA DUBAI AMLAUMU MUMEWE

Tanzanian caught with Dhs3 million of drugs in Dubai blames husband

A cross-post from Yahoo! News — A woman caught with Dhs3 million of drugs in her suitcase claims she was unwittingly being used as a mule by her husband, Dubai Police said.

HUYU NDO DADA YAKE FREEMAN MBOWE AIKIMBIA CHADEMA NA KUJIUNGA CCM.....ADAI CHADEMA HAINA JIPYA


DADA wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Grace Mbowe, amejiunga na Chama Cha Mapinduzi ( CCM) akitokea Chadema, kwa kile alichodai haoni jambo jipya katika chama hicho.

HUYU NDIYE BIBI WA MIAKA 78 ALIEAMUA KURUDI SHULENA KUANZA DARASA LA KWANZA, TAZAMA PICHA ZAKE AKIWA SHULENI



78-year-old Mariana Ong’ango Ololo, a new pupil at Obambo Primary School, is not only the oldest pupil in her class, the grandmother is also the oldest pupil in the school.

HII NDO KATUNI ILIYO CHORWA KUHUSIANA NA MABASI YA WANAWAKE YANAYO TARAJIWA KULETWA NCHINI

Zitto: Sitogombea Urais wala Ubunge 2015


MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Bw. Zitto Kabwe (CHADEMA), amesema hafikirii kugombea urais kwa tiketi ya chama hicho wala ubunge katika Uchaguzi Mkuu mwaka 2015.

Alisema mwaka 2015, ndio mwaka wa mwisho kujihusisha na siasa ambapo dhamira yake ni kutafuta chuo ambacho ataweza kufundisha masomo ya uchumi na maliasili.

Bw. Kabwe aliyasema hayo hivi karibuni katika mahojiano maalumu na gazeti hili siku chache baada ya viongozi 105 kutoka Vyuo Vikuu 30 nchini, kupendekeza majina ya wanasiasa wanaofaa kuwania urais mwaka 2015.

Sunday, 25 August 2013

HII NDO MASHINE MPYA YA KISASA YA KUWEZA KUBAINI MADAWA YA KULEVYA

HII NDO MASHINE MPYA YA KISASA YA KUWEZA KUBAINI MADAWA YA KULEVYA  ILIYO FUNGWA KATIKA UWANJA WA

EXCLUSIVEE... DILISH AIBUKA MSHINDI WA BIG BROTHER AFRICA 2013

Hatimaye mwakilishi kutoka Namibia Dilish ameibuka kuwa mshindi wa Big Brother Africa 2013......Hongera sana Dilish

TAARIFA ZA KUKAMATWA VIONGOZI WA CHADEMA IRINGA

VIONGOZI waandamizi wa chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) Taifa akiwemo mwenyekiti wao Bw Freema Mbowe, Mbunge wa Singida Mashariki ambae ni Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni Tundu Lissu na mwenyeji wao mbunge wa jimbo la Iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa wakamatwa na polisi mkoani Iringa Viongozi hao  wamekamatwa   leo majira ya saa 3 asubuhi kati kati ya mji wa Iringa wakati wakitokea eneo la Kihesa kuelekea Bungeni mjini Dodoma kwa shughuli za kibunge kabla ya jeshi la polisi kuwatia matatani na kuwafikisha kituo cha polisi .

JWTZ YATOA UFAFANUZI KUHUSU MWANAJESHI WAKE ALIYETOROKA NA KUKIMBILIA RWANDA

 
JESHI LA wananchi wa Tanzania (JWTZ), limetoa ufafanuzi kwa kusema kuwa askari wake aliyetoroka jeshini Luteni Kanali Coelestine C. Seromba kwa kusema kuwa ni mzaliwa wa Kagera na siyo Rwanda.

Jeshi hilo limevitaka vyombo vya habari kuacha kuripoti taarifa potofu za afisa huyo ambaye alikuwa akikabliwa na tuhuma za makosa ya kijeshi na baadaye akatoweka wakati mchakato wa kumfungulia mashitaka ukiendelea.


HIVI NDIVYO VIOJA VYA TRAFIKI FEKI MBELE YA HAKIMU MFAWIDHI -ILALA

 
JAMES Hussein, mkazi wa Kimara, Dar alikuwa na wakati mgumu wa kukwepa kamera zilizotua Mahakama ya Wilaya Ilala, jijini Dar juzi baada ya kufikishwa kwa kosa la kujifanya trafiki.

Tukio hilo lilijiri mahakamani hapo Agosti 22, mwaka huu ambapo mshitakiwa alikana mashitaka mbele ya Hakimu Mfawidhi, Joyce Minde.

Saturday, 24 August 2013

Kamati Kuu yamzuia Kagasheki

napekagasheki_60ad9.jpg
Dodoma. Suala la kutimuliwa kwa madiwani wanane wa CCM katika Manispaa ya Bukoba limeingia sura mpya baada ya Kamati Kuu kuwazuia Meya, Dk Anatory Amani na Mbunge wa Bukoba Mjini, Balozi Khamis Kagasheki kushiriki katika siasa mkoani humo hadi mwaka 2015.
P.T

Habari zilizopatikana kutoka ndani ya kikao hicho zinaeleza kuwa uamuzi huo umefikiwa baada ya kubainika mgogoro wa viongozi hao, unakiumiza chama katika jimbo hilo.
Taarifa zilidai chanzo cha ugomvi kati ya Balozi Kagasheki na Dk Amani, ni kwa kila mmoja kutaka kugombea nafasi ya ubunge Jimbo la Bukoba mjini katika uchaguzi ujao. Na kwa uamuzi huo, Kagasheki na Dk Amani hawatashiriki uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.
Hata hivyo, akitangaza uamuzi huo jana, Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi,

WATU MILIONI 2.9 KUCHUKULIWA ALAMA ZA VIDOLE, PICHA


1 
Bw. Thomas William Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na hifadhi hati wakati alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu idadi ya watu waliochukuliwa alama za vidole kushoto ni Georgina Misama afisa habari wa Idara ya Habari Maelezo.2 
Meneja wa Uchambuzi wa mfumo wa kompyuta NIDA Bw. Mohamed Mashaka akitoa maelezo kwa waandishi wa habari jinsi mtambo huo

Thursday, 22 August 2013

NAPE: CHADEMA NI VIBARAKA


NAPE AWAPONDA CHADEMA

  • .Asema ni vibaraka waliobobea.
  • .Adai wanawapotezea watu muda mikutano ya Katiba
  •  Ajivunia utaratibu uliotumiwa na CCM
  •  Adai wanachofanya Chadema ni uhuni
  •  Ampongeza Warioba kukataa maoni ya helkopta

RAIS ROBERT MUGABE WA ZIMBABWE ALA KIAPO


 Rais wa Zimbabwe Robert Gabriel Mugabe akila kiapo cha kuongoza nchi hiyo kwa miaka mitano ijayo katika sherehe zilizofana sana katika Uwanja wa Taifa wa Michezo wa Harare Agosti 22, 2013
  Rais wa Zimbabwe Robert Gabriel Mugabe akivishwa shada na medali baada ya kula kiapo cha kuongoza nchi hiyo kwa miaka mitano ijayo katika sherehe zilizofana sana katika Uwanja wa Taifa wa Michezo wa Harare Agosti 22, 2013
 

KWELI TANZANIA TWACHAFUKA SASA..HUU MTANDAO WA DOHA NCHINI QATAR UMEANDIKA KWAMBA TANZANIA NA NIGERIA NDO MADAWA MENGI YANATOKA

 HII CHINI NDO TAARIFA YENYEWE

image

 

Airport official credits Qatar Airways for role in foiling drug smugglers

As Qatar works to catch the rising number of passengers attempting to smuggle narcotics through the Doha International Airport, the national carrier is getting credit for its role in the fight.
Speaking to Al Arab, the DIA’s Ahmad Al Khayarain said:
“There is a lot of cooperation to help tackle the issue. For instance, we work closely with the employees of Qatar Airways.
Those who transport drugs in their stomachs refuse to eat or drink and they of course

Angalia PICHA...SHOMARY KAPOMBE ALIPOTAMBULISHWA RASMI AS CANNES YA UFARANSA

Tuesday, 20 August 2013

HIVI NDIVYO MH.MBOWE ANAVYO LINDWA NA WALINZI WAKE AKIWA KATIKA GARI LAKE

 
MH.MBOWE AKIWA KATIKA GARI LAKE CHINI YA ULINZI MKALI

MSAFALA WA MWENGE WAPATA AJALI DODOMA MAJERUHI WALAZWA AKIWEPO N MKIMBIZA MWENGE KITAIFA

DSC00917 
Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma Bi. Suzzan Kaganda Akiongea na waandishi wa Habari hawapo pichani, Katika ukumbi wa Mikutano wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma Kuhusia na ajali iliyotokea  katika kijiji cha Fufu, Kata ya Fufu, Wilaya ya Chamwino, ambapo takribani magari matano (5) yaliyokuwa kwenye msafara wa Mwenge wa Uhuru, yakitokea Wilaya ya Dodoma kuelekea kwenye makabidhiano Wilaya ya Mpwapwa, ambapo Watu wapatao tisa (9) walijeruhiwa katika ajali hiyo
DSC00911 Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Wilaya ya Dodoma, Mrakibu wa Jeshi la Polisi Bw. Bonventure Nsokolo Akikagua moja ya gari iliyoharibika katika ajali iliyotokea  katika kijiji cha Fufu, Kata ya Fufu, Wilaya ya Chamwino, ambapo takribani magari matano (5) yaliyokuwa kwenye msafara wa Mwenge wa Uhuru, yakitokea Wilaya ya Dodoma kuelekea kwenye makabidhiano Wilaya ya Mpwapwa DSC00908 
Baadhi ya washiriki walikuwa katika msafara wa kwenda kukabidhi mwenge kutoka wilaya ya Dodoma mjini na kuukabidhi katika wilaya ya Mpwapwa wakiangalia moja ya magari yaliyoharibika baada ya kutokea ajali hiyo Gari namba DFP.7178 TOYOTA LAND CRUISER (AMBULANCE) ambayo ni mali ya Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma

MWIGULU NCHEMBA ACHARUKA BAADA YA CHADEMA KUWASHA MOTO JIMBONI MWAKE,SOMA ALICHO ANDIKA HAPA

 

Huyu ndo BINADAMU MWENYE KILO 610 NAKUVUNJA REKODI YA DUNIA

Mfalme wa Saudi Arabia, ameingilia kati mpango wa kumsaidia Raia wa nchi hiyo, Khalid bin Mohsen Shaari ambaye ndiye binadamu mnene na mzito zaidi duniani akiwa na uzito wa kilogram 610, katika mchakato wa kumtibu na kumrudisha katika hali nzuri zaidi.

Ponda aigharimu Serikali milioni 10/-


Usafiri wa helikopta waitafuna dola mara 71 ya gharama ya gariULINZI wa Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda, akiwa gerezani na anapopelekwa mahakamani, umeanza kuvitesa vyombo vya Dola. Habari zilizolifikia gazeti hili na kuthibitishwa na Kamanda wa Kikosi cha Anga wa Jeshi la

Monday, 19 August 2013

ANGALIA PICHA ZA VURUGU MAANDAMANO YA CHADEMA JIJINI MWANZA

EWZ : MTAWA AVAMIWA NA KUJERUHIWA VISIWANI ZANZIBAR

HABARI nilizozipata punde kutoka Zanzibar zinasema Mtawa Mkatoliki ameshambuliwa na kuumizwa vibaya humo katika eneo linalodaiwa kuwa ni jirani kabisa na alipopigwa risasi Padri Mushi na kuuawa.

HIVI NDIVYO SHEIKH PONDA ALIVYO PELEKWA NA HELKOPTA MOROGORO TOKA DAR ES SALAAM

Sheikh Issa Ponda  Akiwasili Mahakamani Mkoani Morogoro Leo Asubuhii
 Mara baada ya kusomewa hukumu hapa akiondoka mahkamani na kurudishwa rumande mpaka tarehe 28
Akiwa kizimbani tayari kusomewa mashtaka yake yanayomkabili

"WANAWAKE LIVE - MSIMU MPYA KUANZA (20/08/2013)



Usikose kukutana na 'Super Woman' Joyce Kiria kwenye Wanawake Live kuanzia kesho Jumanne saa TATU KAMILI usiku kupitia EATV, na Jumanne zote zinazoendelea anapokuletea issue mbali mbali kuhusiana na wanawake. SHARE hii na marafiki!"