Thursday, 7 August 2014

Rais Kikwete katika 'Mkutano wa Viongozi wa Afrika na Marekani', Washington DC

MATUKIO
Rais Jakaya Kikwete na viongozi wenzake wa Afrika katika mkutano wa Viongozi wa Afrika na Marekani ambao ulifunguliwa na Rais Barak Obama katika ukumbi wa State Department jijini Washington DC

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwasili katika Ikulu ya Marekani (White House) jijini Washington DC kwa dhifa ya Kitaifa waliyoandaliwa viongozi wa Afrika na mwenyeji wao Rais Barak Obama.

0 comments:

Post a Comment