Sunday, 24 August 2014

Mutungi kuwakutanisha tena CCM, Ukawa


“Siyo sahihi kusema mkutano ulivunjika, bali kilichotokea ni wajumbe wa pande zote mbili kutokubaliana, kisha mkutano ukaahirishwa kwa kukubaliana kwamba siku yoyote tutarejea tena kwenye meza ya mazungumzo ili kuendelea kujadiliana,”.PICHA|MAKTABA  


0 comments:

Post a Comment