Saturday, 28 September 2013

MAGAZETI YA MWANANCHI NA MTANZANIA YAFUNGIWA

DSC_0066_048af_b99b2.png
DSC_0068_b4d0a_9c292.png
Habari za hivi punde zinasema kuwa magazeti la Mwananchi na Mtanzania yamefungiwa kwa kuandika habari za upotoshaji, kwa upande wa gazeti la Mwananchi ni kuwa limefungiwa kwa muda wa siku kumi na nne(14) wakati gazeti la Mtanzania limefungiwa kwa siku tisini (90)

0 comments:

Post a Comment