Mkuurugenzi Mtendaji wa Nsiima Catering Services Mama Immaculata Rutatota
Mkuurugenzi
Mtendaji wa Nsiima Catering Services Mama Immaculata Rutatota Aliyevaa
kofia akiongozana na wafanyakazi wa kampuni hiyo leo asubuhi
Walipotembelea kituo cha kulelea watoto yatima cha Mgolole Mjini
Morogoro Ikiwa ni siku ya kampuni Hiyo kufurahia na Kumshukuru Mungu kwa
mwaka Mzima
Wafanyakazi
wa Nsiima Catering Services Wakiwa wamebeba vitu mbalimbalia kwa ajili
ya kituo cha watoto yatima Cha Mgolole Mkoani Morogoro
Mkuurugenzi
Mtendaji wa Nsiima Catering Services Mama Immaculata Rutatota
wakishiunana mkono wa watoto yatima ikiwa ni makabidhiano ya vitu
mbalimbali wakati kampuni ya Nsiima walipowatembelea watoto hao leo
Meneja masoko wa kampuni ya Nsiima Jackline Rutatora Aliyevaa Kofia akiwa pamoja na wafanyakazi wa kampuni hiyo
0 comments:
Post a Comment