Tuesday, 10 December 2013

Jinsi mandela alivyofunika Dar, Zanzibar baada ya kutoka gerezani


Mwalimu Julius Nyerere akiwa na mgeni wake Nelson Mandela (kushoto) na Winnie Mandela kwenye gari la wazi wakati wakiwasili kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam. Mandela alifanya ziara nchini mwaka 1990 baada ya kutoka gerezani.Picha na Maktaba. Dar es Salaam. Siku 23 baada ya NelsonMandela kuachiwa huru kutoka gerezani,
Februari 11, 1990 aliwasili hapa nchini kwa ziara fupi iliyokuwa na msisimko wa aina yake.

0 comments:

Post a Comment