Saturday, 30 November 2013

MSAFARA WA MWENYEKITI UVCCM WAWEKEWA MAGOGO


Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) taifa, Sadifa Juma Khamis (MB) Polisi mkoani Pwani inachunguza kundi la watu linalodaiwa kuweka magogo barabarani kuzuia msafara wa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) taifa, Sadifa Juma Khamis (MB) katika eneo la Tondoroni, wilayani Kisarawe, mkoani humo. 
Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani, Ulrich Matei, alisema atazungumzia suala hilo baada ya  kupata  taarifa kamili. 
Kwa mujibu  wa watu walioshuhudia tukio hilo, kundi hilo liliweka magogo hayo jana usiku katika barabara ya kati ya eneo la Mpuyani katika njia panda ya barabara iendayo vijijini kuingia barabara kuu ya Morogoro. 
Mashuhuda wa tukio hilo walisema katika nyakati tofauti kundi hilo lilianza kuzuia msafara huo kwa kutaka kushinikiza dai la mgogoro wa mipaka kati ya eneo la Jeshi la Wananchi wa Ulinzi Tanzania (JWTZ) na makazi ya watu katika eneo la Tondoroni, wilayani humo. 

Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Lindi ajiuzulu

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Lindi, Ally Chitanda, ametangaza kujiondoa katika nafasi hiyo akieleza kuchoshwa na uamuzi wa kikanda na kikabila unaoendelea ndani ya chama hicho.
Mbali na Uenyekiti, Chitanda  pia alikuwa  Mjumbe wa Baraza Kuu la Taifa na Katibu Ofisi ya Katibu Mkuu- Sekretarieti nafasi ambayo pia alitangaza kujiuzulu jana, lakini akaahidi kuendelea kuwa mwanchama mwaminifu wa Chadema.
Hata hivyo katika maelezo yake ya sababu za kujiuzulu alisema: “Sioni sababu ya kuendelea kuwa mwana Chadema, sioni sababu ya kuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Lindi.”
“Sioni sababu ya kuwa kiongozi kwa kuwa kipaumbele cha Chadema ni kukijenga chama Kaskazini, basi sisi wa Lindi tunawatakia kila la heri….”
Alisema amefikia hatua hiyo baada ya uamuzi wa Kamati Kuu ya Chama hicho, kuwavua nyadhifa Zitto na mwenzake Dk Kitila Mkumbo wiki iliyopita.

HIVI NDIVYO MSHINDI WA EBSS MWAKA HUU 2013 ALIVYOKABIDHIWA KITITA CHA MILIONI 50 ALFAJIRI YA LEO..! CHEKI HAPA



Zawadi kwa mshindi wa mwaka huu ni Milion hamsini[50]ambayo kakabidhiwa jukwaani.

 
Kinyanganyiro cha kumtafuta Super Star wa Bongo kupitia Epiq Bongo Star Search 2013 kimekamilika alfajiri hii kwenye ukumbi wa Escape 1.

 
Mashindano haya ambayo kidogo yalichelewa kuanza yalipambwa na wasanii mbalimbali wakiwemo Barnaba,Makomando,Young Killer,water chilambo,Shaa,Kimbunga na Snura.

Katika mashindano haya ambayo yalikua na jumla ya washiriki watano ambao ni Amina Chibaba,Elizabeth Mwakijambile,Emmanuel Msuya,Maina Thadei na Melisa John,ambao walipita kwa round tatu kisha majaji kuwapunguza watatu na kisha kubakia Emanuel Msuya na Elizabeth Mwakijambile katika Round ya 4 na ya mwisho.


 
Katika round ya mwisho,Emmanuel Msuya ameibuka kidedea na kuwa Mshindi wa Epiq Bongo Star Search 2013,akiwa ni mshiriki anaetokea Jijini Mwanza na kumpokea taji water chilambo ambae alikua mshindi wa mwaka jana.

MCHEZAJI DAVID BECKHAM ANUNUA JUMBA LENYE THAMANI YA SH 77.5 BILLION ZA KITANZANIA ONA PICHA HAPA.


Beckham anunua jumba la kifahari lenye thamani ya £30million sawa na Tshs. 77,493,300,000.00 (Bilioni 77.5): The new Beckingham Palace: Four nail bars, a catwalk, even a waterfall - the secrets of the Beckhams' riotously naff new £30million London Home

Beckham anunua jumba la kifahari lenye thamani ya £30million sawa na Tshs. 77,493,300,000.00 (Bilioni 77.5): The new Beckingham Palace: Four nail bars, a catwalk, even a waterfall - the secrets of the Beckhams' riotously naff new £30million London Home.


Floor ya 3: ina bedroom 3 za wageni, sehemu ya pool table na baa ndogo. Floor ya 2: in master bedroom1 na master birthroom 1, pia ina sehemu ya manicure, hair dressing na make up na sehemu hii ni mfano wa theatre dressing room pia ina sehemu nzuri sana ya kupumzikia. Floor ya 1: ina Victoria’s dressing room, restaurant-standard kitchen, dinning room na family living room. Ground floor: ina offisi ya Victoria, mlango wa siri, study room, play room, store, powder Room. Lower ground floor: Luxury spa and GYM, store room 

David and Victoria Beckham are rumoured to have paid £30million for 'Beckingham Palace MkII' in Kensington & Chelsea and have put aside £5million for renovation



The grand facade of the Beckhams’ new London home has remained unaltered for 150 years, but its occupants over the decades tell a revealing story of social change.

One of its first residents in the 1880s was a successful Yorkshire wool broker. In the 1920s a Peruvian diplomat lived here, and in 1930 it became a boarding house for genteel single ladies.
By the 1990s, the dawn of a flashy new epoch was reflected in the installation of a vast subterranean pool complex beneath the house, which had been bought by a rich horse-breeder.
In 2005, a Guernsey-based holding company purchased the property and it is believed to have been unoccupied for several years.
This week its new owners were revealed to be Victoria and David Beckham, who intend to put their own unique imprint on the property.
When the retired footballer, his fashion designer wife and their four children move in, the house will once again take on a new hue — that of our celebrity-obsessed era.
The couple, who have been renting a property in Kensington since January, have, according to one source, paid more than £30 million for the house, which stands on one of the smartest streets in the Royal Borough of Kensington and Chelsea.
At more than 9,000 square feet, it is one of the largest in the area, boasting eight bedrooms and seven bathrooms.
Victoria, 39, has instructed the interior designer Kelly Hoppen — who is a friend — to renovate the house, with an upper budget of £5 million.

Wednesday, 27 November 2013

WAZIRI MKUU WA UKRAINE JULIA TYMOSHENKO AANZA MGOMO WA KUTOKULA CHAKULA NCHINI HUMO.

Waziri Mkuu wa zamani wa Ukraine, Julia Tymoshenko
Waziri Mkuu wa zamani wa Ukraine, Julia Tymoshenko.

KIONGOZI wa upinzani nchini Ukraine, Julia Tymoshenko leo ameanza mgomo wa kula chakula, akiwaunga mkono maelfu ya watu wanaopinga uamuzi wa serikali hiyo kuubatilisha mkataba baina ya nchi hiyo na Umoja wa Ulaya.


Tymoshenko, kiongozi mwenza wa muungano uliofanya mapinduzi yaliyopewa jina la chungwa, mwaka 2004, unaounga mkono mataifa ya Magharibi, alitangaza kuanza mgomo huo katika barua yake aliyowaandikia wafuasi wapatao 20,000 jana Jumatatu wanaounga mkono mkataba wa ushirikiano
kati ya Ukraine na Umoja wa Ulaya, ambao wanaandamana mjini Kiev kwa siku ya pili mfululizo.


Tymoshenko aliyekuwa waziri mkuu wa Ukraine, amesema ataendelea kugoma hadi hapo Rais Viktor Yanukovych atakaposaini mkataba huo kuhusu ushirikiano na biashara huru na Umoja wa Ulaya. 
Ameongeza kusema kuwa iwapo Yanukovych hatosaini mkataba huo tarehe 29 ya mwezi huu wa Novemba, atolewe katika uongozi wa Ukraine kwa njia ya amani na kikatiba, pamoja na wasaidizi wake wa kisiasa na wala rushwa.

Serikali yatangaza nafasi za kazi 2,748.

Serikali kupitia Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inawatangazia watanzania wenye sifa na uwezo kujaza jumla ya nafasi wazi za kazi 2,748 kwa ajili ya waajiri mbalimbali Nchini.
Kwa mujibu wa Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Xavier Daudi nafasi hizo za kazi ambazo zinapatikana katika tovuti ya Sekretarieti ya Ajira ambayo ni www.ajira.go.tz ni kwa ajili ya waajiri mbalimbali wa Ofisi za Umma.
Daudi alitaja nafasi za kazi zinazotangazwa kuwa ni Afisa Uvuvi daraja la ii, Mvuvi msaidizi daraja la ii, Afisa Mifugo msaidizi daraja la ii, Afisa mifugo daraja la ii, Mteknolijia wa samaki daraja la ii, Daktari wa mifugo daraja la ii,Afisa utafiti Mifugo daraja la ii, Daktari utafiti Mifugo daraja la ii, Fundi sanifu Maabara Mifugo daraja la ii, Mkufunzi Mifugo daraja ii, Mkufunzi wa Mifugo msaidizi na Daktari Mifugo.

Kada nyingine ni Mkufunzi daraja la ii, Mtekinolojia wa Samaki msaidizi daraja la ii, uunda boti daraja ii, nafasi 2, Dereva wa vivuko daraja la ii, msaidizi mifugo,afisa kilimo daraja la ii, Afisa kilimo msaidizi daraja la ii, Mhandisi kilimo daraja la ii, Fundi sanifu daraja la ii, Afisa utafiti kilimo daraja la ii, Mkufunzi wa kilimo msaidizi, Afisa kilimo msaidizi daraja la iii,Dereva daraja la ii, mlinzi, Mhasibu mkuu daraja ii, Msanifu lugha mkuu iii na Afisa vipimo.

Kwa mujibu wa Katibu wa Sekretarieti ya Ajira nafasi hizo za kazi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Uvuvi na Maendeleo ya Mifugo, Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kiteto, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mlele, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kalambo, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mpanda, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Nkasi, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Sumbawanga na Mkurugenzi Manispaa ya Kinondoni.

Tuesday, 26 November 2013

SERIKALI YA ANGOLA YAZUIA DINI YA KIISLAM NA KUVUNJA MISIKITI YOTE.



WAKATI uhuru wa kuabudu upo kwa kila mtu, Angola inaonekana kupingana na jambo hili.  


Nchi hiyo ya kusini mwa Afrika inasemekana imekuwa nchi ya kwanza duniani kupiga marufuku dini ya Uislam ambapo kwa mujibu wa habari mbalimbali kutoka nchini humo, misikiti imefungwa na baadhi imeharibiwa.

Gazeti la Guardian liliripoti Novemba 22 mwaka huu kwamba Waziri wa Utamaduni wa Angola, Rosa Cruz e Silva, alisema “mchakato wa kuhalalisha Uislam haujapitishwa na Wizara ya Sheria na Haki za Binadamu, hivyo misikiti itafungwa hadi taarifa maalum itakapotolewa.”

 Waziri huyo alisema misikiti inafungwa ili kukomesha kinachoitwa kuzuia madhehebu haramu ya kidini ambapo chini ya sheria za nchi hiyo madhehebu mengi ya kidini yanachukuliwa kuwa ni ya kihalifu.

Mwezi huu tarehe 24,  Rais wa Angola, José Eduardo dos Santos, alisema nchi hiyo imo katika mchakato wa kukomesha taathira ya Uislam katika nchi hiyo ambapo Gavana wa Luanda, Bento Bento, alisema Waislam “wenye msimamo mkali” hawaruhusiwi  nchini humo na kwamba serikali ya Angola haitaruhusu kuwepo misikiti na nyumba zozote za ibada kwa Waislam. 

Serikali yatoa onyo kwa wanaume wanaowapiga picha za uchi wapenzi wao, ICHEKI HAPA

 

Serikali imesema haitavumilia mtu au kundi la watu wa aina yoyote ambao watabainika kuendeleza vitendo vya ukatili na unyanyasaji wa kijinsia na kutaka jamii kutumia madawati ya jinsia katika vituo vya polisi  kuripoti matukio yote ya aina hiyo ili yadhibitiwe kabla ya kuleta madhara makubwa ikiwemo watu kupoteza maisha.

Hayo yamesemwa na waziri wa  mambo ya ndani  Mh Dk Emanueli Nchimbi wakati wa uzinduzi wa dawati  la jinsia  pamoja na mpango kazi wa miaka mitatu unaaonyesha majukumu ya jeshi la polisi  katika kuimaraisha mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia.
Naye mkuu wa jeshi la polosi nchini IGP Saidi Mwema amesema tangu kuanza kufanyiwa majaribio mpango huo umeonyesha mafanikio makubwa na hivyo ameitaka jamii kujitokeza na kutumia dawati hilo. 

ALICHOKISEMA RAISI KIKWETE KUHUSU FURSA ZILIZOPO NCHINI.....PIA DIAMOND PLATNUMZ AKITOA USHUHUDA WAKE!

  Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Wadau mbali mbali walioshiriki kwenye Warsha ya Kamata Fursa Twenzetu,iliyofanyika leo kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee,jijini Dar es Salaam.Mh. Rais ameupongeza uongozi wa Kampuni ya Clouds Media Group kwa ubunifu wao wa Kampeni ya Fusra inayowakutanisha na kuwahamasisha vijana mbali mbali nchini kujituma na kufanya kazi ili kutokomeza swala zima la ukosefu wa ajira,Pia Rais Kikwete ameahidi kuwasaidia waendeshaji wa Warsha hiyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Clouds Media Group,Joseph Kusaga akizungumza machache kabla ya kumkaribisha Mgeni Rasmi,Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete,ili aweze kuzungumza na Wadau mbali mbali walioshiriki kwenye Warsha ya Kamata Fursa Twenzetu,iliyofanyika leo kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee,Jijini Dar es Salaam.
Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Kampuni ya Maxcom Africa,Ahmed Lussasi akizunguma katika Warsha ya Fursa namba alivyo
Mwanamuziki wa Muziki wa Kizazi Kipya,Nasseb Abdul a.k.a Diamond akitoa ushuhuda wake wa namna alivyoanza na mpaka alipofikia sasa,ambapo ameweza kuiona Fursa na kuweza kugawana fursha hiyo na vijana wenzake anaofanya nao kazi kila siku.Kushoto ni Mwanafursa Mwingine,ambaye pia ni Msanii wa Mashairi,Mrisho Mpoto.
Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Bi. Fatma Ally akielezea namna alivyoipata Fursa kwa kupitia Ufugaji wa Nyuki.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwasikiliza vijana mbali mbali walopata Fursa na kuweza kufanikiwa katika maisha yao.
Mrisho Mpoto akizungumzia Fursa yake.

Wadau mbalimbali wa Warsha ya Kamata Fursa Twenzetu wakimsikiliza kwa makini Mwenyeshaji wa Kampeni hiyo ya Fursa,Ruge Mutahaba.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya,Naseeb Abdul a.k.a Diamond.

FOLENI ZA DAR ZAMSABABISHA HUYU MBUNGE WA SINGIDA MJINI KUPANDA BODA BODA.

“The traffic in Dar is crazy,I was so fed up sitting in the car, I had to rent a(Boda Boda) 2 make it 4 a meeting, I guess I need a chopper,” alitweet.
Huenda wazo la kununua chopper akalifikiria kwa nafasi kubwa zaidi ili kuepukana na foleni kali wakati mwingine na hivyo

Thursday, 21 November 2013

HABARI KAMILI KUHUSU BABU SEYA NA PAPII KUENDELEA NA KIFUNGO CHA MAISHA..SOMA WALICHOSEMA HAPA


Ni dhahiri kwamba huu ndio mwisho wa harakati za Mwanamuziki maarufu wa muziki wa dansi Tanzania mwenye asili ya Congo DRC Nguza Viking na mtoto wake Johnson Nguza (Papii kocha) kujinasua kwenye kifungo cha maisha gerezani.
Kwa mara nyingine tena harakati zao za kujitoa kwenye adhabu hiyo zimegonga mwamba baada ya Mahakama ya Rufani kupigia msumari wa mwisho uliozima harakati zao kujinasua baada ya kutupilia mbali maombi yao ya marejeo ya hukumu ya rufaa yake.
hii ni mara ya tatu kwa wafungwa hawa kugonga mwamba baada ya Mahakama kuu kanda ya Dar es salaam na Mahakama ya Rufani kutupilia mbali rufaa zao kupinga hukumu ya Mahakama ya hakimu mkazi  kisutu iliyowahukumu kifungo cha maisha.
Wafungwa hawa kupitia kwa Wakili Mabere Marando walikua wakiiomba Mahakama ya Rufani ifanye marejeo ya hukumu yake ya February 11 2010 iliyothibitisha adhabu hiyo waliyohukumiwa na Mahakama ya chini na badala yake iwaachie huru lakini Mahakama ya Rufani katika uamuzi wake uliotolewa na Majaji watatu, Nathalia Kimaro, Salum Massati na Mbarouk Mbarouk ilitupilia mbali maombi hayo hivyo waendelee kutumikia kifungo cha maisha gerezani.
Ni uamuzi ambao uliibua machungu sio tu kwa Wafungwa na ndugu zao lakini hata kwa Wakili wao mwingine Gabriel Mnyele aliesema ‘hakuna namna nyingine ya kuwachomoa kwenye adhabu hii isipokua miujiza’
Ndugu na watu wengine waliohudhuria Mahakamani waliendelea kutokwa na machozi ya huzuni pale Wafungwa hawa walipokua wakipandishwa kwenye gari la Magereza kurudishwa kuendelea kutumikia adhabu yao.
Kauli ya Mahakama baada ya kutupilia mbali maombi yao ni ‘Waomba Marejeo hao hawakuwa na hoja ya msingi kwa sababu hoja zilizotolewa sio tu hazikidhi kuifanya

BREAKING NEWZZZZ......ZITTO NA KITILA MKUMBO WAVULIWA VYEO VYOTE NDANI YA CHADEMA

Kikao cha Kamati Kuu ndiyo kimeisha muda huu, na taarifa zilizopo ni kwamba kambi ya PM7 imevunjwa rasmi baada ya viongozi wake kuvuliwa vyeo vyote walivyo navyo ndani ya chama.

Waliovuliwa vyeo ni Zitto Kabwe, ambaye amevuliwa nafasi ya Naibu Katibu Mkuu wa chama pamoja na nafasi ya Naibu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni. Dr. Kitila Mkumbo yeye amevuliwa nafasi ya mjumbe wa kamati kuu.

Kamati Kuu imewaandikia barua Zitto na Kitila, wajieleze ndani ya siku 14 kwanini wasifukuzwe uanachama.

PAPA FRANCIS AMKUMBATIA MTU AISYE NA USO ILI KUMPA FARAJA

Saint Francis: Pope Francis I took the time after his weekly Papal audience in St. Peter's Square to bless a man without a face 

Two weeks after the Pope moved the world when he embraced victim of terrible disease, his compassion brings a moment of joy to another disfigured man

  • Pope Francis paused during his weekly audience to greet disfigured man
  • Stopped to speak and hug the man who lacked facial features

His actions have touched many across the world and revitalised the Catholic church
But for Pope Francis, comforting this stricken man after today's weekly audience in St Peter's Square was another simple act of compassion.
In scenes strikingly similar to his encounter with the disfigured Vinicio Riva two weeks before, the pontiff first spoke with the worshipper and then put his arms around him, blessing him.
The man's identity is not known, nor are the details of what caused such terrible damage to his face.  
Saint Francis: Pope Francis I took the time after his weekly Papal audience in St. Peter's Square to bless a man without a face
Saint Francis: Pope Francis I took the time after his weekly Papal audience in St. Peter's Square to bless a severely disfigured man

Wednesday, 20 November 2013

HUYU NDO ANAYE IONGOZA SIMBA KWA SASA...BAADA YA RAGE KUSIMAMISHWA

RageSimba
Kamati ya  utendaji ya klabu ya Simba iliyokutana jana usiku imempiga stop Ismail Aden Rage kuendelea na ubosi katika klabu ya Simba na kulibadilisha benchi la ufundi isipokuwa nafasi ya meneja Madaktari wa timu ambapo pia kwa sasa wanamtarajia ZDRAVOK LOGARUSIC kutoka Croatia.
 Akizungumza kwa niaba ya kamati ya utendaji, mjumbe wa kamati ya utendaji Joseph Itangare amesema wamemsimamisha mwenyekiti kutokana na kufanya maamuzi yake binafsi bila kushirikisha kamati ya utendaji ikiwemo kutoitisha vikao vya kamati ya utendaji kwa mujibu wa Ibara ya 31 (1)ya katiba ya simba.
Kingine alichosema Itangare ni ‘vilevile mwenyekiti huyo amesaini mkataba wa kukiuuza kipindi cha Simba tv bila kushirikisha kamati ya utendaji’Mzee-Kinesi
Hii picha hapa juu ni Mzee Kinesi ambae namkariri akisema ‘kwa sasa lazima twende kikatiba, Mwenyekiti kama hayupo ngazi inayofatia inapanda juu na tunachagua Mjumbe mwingine ili kukaa kwenye nafasi iliyobakia, kwa muda huu wa matayarisho ya mkutano mkuu ujao mimi nitakaimu kama Mwenyekiti wa Simba na Swed atakaimu kama makamu Mwenyekiti’ (picha kutoka kwa salehjembe.blogspot.com)

Kwenye sentensi nyingine, Kinesi amesema ‘Mwenyekiti tumemsimamisha lakini tusubiri maamuzi ya mkutano mkuu ambao utafanyika kwa ajili ya marekebisho ya katiba, kuna mengine yamekiukwa hivyo yatawasilishwa kwenye mkutano mkuu tarehe 1 December’

UKATILI WA KIJINSIA WAZIDI KUOTA MIZIZI MBEYA.....

Mtoto Jesca Varelia 10   mwanafunzi wa darasa la tatu shule ya msingi Mlimani sinde jijini Mbeya anatumikishwa na mama yake wa kambo kuuza mboga muda wa masomo  

BREAKING NEWZZZZ.......WATANZANIA WAWILI WAMEKAMATWA NA DAWA ZA KULEVYA NCHINI INDIA NA MMOJA WAO AMEFARIKI DUNIA




Kuna taarifa kuwa Watanzania wawili wamekamatwa na dawa za kulevya nchini India na kwamba mmoja wao amefariki dunia. Taarifa zinadai kuwa Watanzania hao, ambao walikuwa watatu, waliwasili katika uwanja wa kimataifa wa ndege wa Chatrapati Shivaji juzi asubuhi na Ethiopian Airlines Flight 610.

Baada ya kutua uwanjani hapo, maafisa kutoka uwanjani hapo waliwakamata Watanzania wawili kati ya watatu kwa mahojiano zaidi baada ya kutonywa (tip-off) kuwa walikuwa wamebeba dawa za kulevya. Baada ya kuhojiwa kwa muda wa masaa matano, Watanzania hao walikataa katakata kuwa walikuwa "punda" wa dawa za kulevya.


Taarifa zinadai kuwa maafisa hao waliamua kuwapa Watanzania hao chakula na maji kama trick ya kujua kama walikuwa wamebeba dawa za kulevya. Kwa kawaida, mtu aliyemeza vidonge vya dawa za kulevya hali wa kunywa ili kuepukana na kifo. Hivyo basi, kama mtuhumiwa akipewa chakula na kukataa kula inaweza kuwa ni dalili kuwa amemeza vidonge vya dawa za kulevya.

Hivyo basi, baada ya kupewa chakula na maji, Mtanzania mmoja alikataa kula wala kunywa. Hata hivyo, Mtanzania wa pili alikubali kula chakula alichopewa. Baada ya hapo, Watanzania wote watatu walipelekwa mahakamani, lakini yule aliyekubali kula alikataa na kutaka kukukimbia. Baada ya purukushani katika eneo la mahakama, yule aliyekubali kula chakula alifariki baada ya kuzidiwa na vidonge vya cocaine kama 120 alivyokuwa amemeza.

HUYU NDIYE DALALI MAARUFU ALIYEPIGWA RISASI NA MWENYE NYUMBA ALIPOKUWA AKINADI NYUMBA YAKE..!!

Dalali Paulo Charles Bundala akiwa hospitali baada ya kupigwa risasi.
MASIKINI! Dalali maarufu, mkazi wa Mabibo, Dar, Paulo Charles Bundala anadaiwa kupigwa risasi wakati akiuza nyumba.


Huku akiwa hajui kinachoendelea, ilisemekana kuwa dalali huyo alipigwa risasi na mwenye nyumba aliyetajwa kwa jina moja la Mlindoko.
  Habari zilieleza kuwa dalali huyo alikuwa akiuza nyumba ya jamaa huyo yenye namba 610, kitalu 47 iliyopo Kijitonyama, Dar kwa oda ya Benki ya BOA kwa madai kwamba alikuwa na deni kwenye benki hiyo.

Akizungumza kwa masikitiko, Bundala alisema kuwa siku ya tukio alikuwa eneo la Kijitonyama, Dar akitangaza mitaani kwa kutumia gari maalum kuwa nyumba hiyo inauzwa, ikiwa ni baada ya kupewa tenda na kampuni moja ya udalali.
“Tulipofika eneo la tukio, tulisikia milio ya risasi na kabla hatujateremka kwenye gari, nilishangaa kuona natokwa na damu sehemu nyeti na kuishiwa nguvu

Sunday, 17 November 2013

Akuta dola laki moja ($100,000) kwenye desk aliyonunua na kurudisha kwa mwenye nayo (MAN FINDS $100,000 AND RETURNS IT TO OWNER‏)

 Good Samaritan: Rabbi Noah Muroff with the notes.

Man finds $100,000 in desk bought online - and returns it to owner who FORGOT where she'd
stashed inheritance
Good Samaritan Noah Muroff found the cash stuffed behind the drawers of a desk he bought on Craigslist.

Honest: Mr Muroff returned the cash to its owner.

A bargain hunter who bought a second-hand desk for £125 online found cash totalling £62,000 in it.
Stunned US rabbi Noah Murnoff discovered the bagful of $100 notes $98,000 in all stuffed behind a drawer.
But he and his wife Esther quickly decided they could not keep the money and traced the seller to return it.
Rabbi Murnoff, of New Haven, Connecticut, said: We were laughing. This kind of thing only happens in movies.
The seller was left speechless by the kind act.
She explained she had stuffed her inheritance in the desk and forgot where she put the money.
The woman, only named as Patty, later wrote to Noah, a Rabbi at Yeshiva of New Haven, Connecticut, thanking them.
She said: I cannot thank you enough for your honesty and integrity.
I do not think there are too many people in this world that would have done what you did by calling me. I do like to believe that there are still good people left in this crazy world we live in. You certainly are one of them.

MTOTO ALIYE KUFA NA KUDAAIWA KUFUFUKA ANENA KWA MARA YA KWANZA...AFUNGUAKA KILICHOMKUTA NA ALIKUWA WAPI BAADA YA KUFARIKA TOKA MWAKA 2011

   
 
Ni hivi karibuni, Mji wa Geita na maeneo jirani ulikubwa na taharuki ya aina yake,pale mtoto Shabani Maulid (15) anaedaiwa kwamba alifariki dunia miaka miaka mitatu iliyopita, alipoonekana akiwa hai katika Kijiji cha 14 Kambarage, Mtaa wa Mbugani.
 
Tukio hilo lilizua hofu kwa wakazi wa Mji wa Geita huku waliowengi wakitaka kujua mtoto huyo aliyekutwa amefariki dunia baada ya kupotea kwa siku nne mwaka 2011 na mwili wake kuzikwa, inakuwaje leo hii anaonekana akiwa hai?
 
Tukio hilo lililotokea Septemba mwaka huu linashuhudiwa na wazazi wa Shaban, ndugu zake, jamaa na hata majirani wa eneo hilo ambao pia wanahoji, je aliyezikwa wakati mwili wa mtoto huyo ulipookotwa ni nani na je mwili wake uko kaburini au la?
 
Maswali haya na mengine, yalikosa majibu kwani baada ya kuonekana kwake, Shaban hakuweza kuongea vizuri na alionekana kutofahamu kabisa Kiswahili, lugha ambayo kabla ya kutoweka kwake aliifahamu vyema. Wakati huu mtoto huyu anaongea Kiha, japo nayo kwa tabu.

Bunge lakataa kubariki ‘Division 5’

 
 
Dar es Salaam. Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii, imevikataa viwango vipya vya alama za ufaulu kwa elimu ya sekondari vilivyotarajiwa kuanza kutumika mwaka huu na kutaka utaratibu na alama zilizotumika mwaka jana, zitumike kupanga matokeo ya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Nne wa mwaka huu.
Serikali ilitangaza utaratibu mpya wa alama za Mitihani ya Kidato cha Nne na Sita kwa kufuta Daraja la Sifuri na kuleta Daraja la Tano.
Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Stephen Ngonyani  alisema jana kuwa kamati hiyo ilichukua uamuzi huo kwa kuwa pamoja na udhaifu ulio kwenye alama hizo, kamati yao haikuhusishwa katika mchakato wa kuandaa alama hizo.

MENGI: KWA MGAWO HUU WA UMEME NINGEKUWA MIMI NDIYE PROFESA MUHONGO NINGEJIUZULU

Reginald Mengi 
Kutoka katika akaunt yake ya twitter Dr Reginal Mengi amemnanga hasimu wake ambaye waliyeingia kwenye mgogoro kutokana na issue ya uwekezaji kwenye vitalu vya gesi, 
Baada ya tanesco kutangaza mgawo wa umeme kwa mikoa iliyo kwenye grid ya taifa, sasa Mengi amnanga kijanja hapa namnukuu Reginald Mengi Mh Muhongo "Niwaambie Watz hakuna mgawo wa umeme na hautakuwepo" SasaTanesco yatangaza mgawo mikoa ya gridi ya taifa. Muungwana angejiuzulu

NAOMBENI RADHI KWA PICHA HIZI ZA MWANAMKE ALIYEFANYIWA UNYAMA WA AINA YAKE...!!! VIUNGO VYAKE VYATENGENISHWA!!!!!!



Hali ya wanawake inazidi kuwa mbaya ndani ya nchi yao TANZANIA inayosifiwa kuwa ni Kisiwa cha Amani (Amani kwa wanaume) Tukio hili lilitokea mapema mwezi wa nane mwaka huu Kijiji cha Nyantira Tarime Mara. Katika mazungumzo yake huyu binti alis
ema kwamba anatamani sana kurudi nyumbani kwa wazazi wake, tatizo ni kwamba kwa kuwa alilipiwa MAHARI na mume wake (aliyemkata panga mguu na kuutoa) hawezi kurudi kwao , wala mama yake hawezi kumkubalia arudi kwao ni mpaka baba yake aje atoe ruhusa ya yeye kurudi nyumbani au abaki kwa mume muuaji avumilie-MFUMO DUME UMEKAMATA MIZIZI (mbayaaaaa, sanaaaa. anajisemeaga Mch Rwakatare)



Samahani kwa picha mbaya, lakini hatuna budi kuonyesha unyama uliopita kipimo ambao wanawake wanaupitia. Na huu ni mfano halisi kwa mwanamke huyu wa Tarime Musoma. picha ya juu ni kipande cha mguu wa huyo binti ambao mume alipitisha panga mithili anakata muwa, picha inaonyesha mguu uliobaki na mguu wa kushoto pia ulikatwa lakini haukutoka, pamoja na mkono wake wa kushoto ulikatwa lakini haukutoka. ( Kumbuka tupo kwenye maandalizi mazito ya kuandimisha siku 16 za kupinga ukatili dhili ya Wanawake)

Bilioni 10 zimeandaliwa kwa ajili ya rushwa urais 2015




Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, amefyatuka na kuwananga mahasimu wake wanaowania urais wa 2015 kwa kuandaa bajeti ya zaidi ya Sh. bilioni 10 ili waingie madarakani kwa njia ya rushwa.


Amedai kuwa watu hao wamekula yamini ya nchi kuongozwa na mtu tajiri kupitia njia ya mkato.

Tanzania yavunja kambi ya watoto wanaopata mafunzo ya al-Shabaab katika mkoa wa Tanga...soma zaidi

Polisi wa Tanzania walivunja zoezi la mafunzo ya al-Shabaab katika mkoa wa Tanga, kuwakamata washukiwa 69 na kuwaachia huru dazani za wafundishwaji wakiwa na umri wa miaka kati ya 4 hadi 13 katika usafishaji wa usalama uliofanyika tarehe 28 Oktoba hadi tarehe 5 Novemba.

Watoto wadogo wenye umri wa miaka minne walikutwa wakitiwa kasumba na watu wenye tabia za al-Shabaab huko Tanga. Hapo juu ni vipande vya taarifa ya video iliyoandaliwa na chombo cha habari cha al-Kataib cha al-Shabaab, ikionyesha wavulana wadogo wakifundishwa huko Somalia.




"Hii imetushitua, tumeongeza usalama katika wilaya ya Kilindi na tumewasambaza polisi jamii wa kutosha ambao wanalijua eneo vizuri, na kupitia operesheni za pamoja na polisi wetu tunapaa majibu yanayotia moyo," Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Tanga Constantine Massawe aliiambia Sabahi, akihakikisha idadi ya waliokamatwa.

Friday, 15 November 2013

KUFUATIA KASHFYA YA KUBAKA NA KUMUAMBUKIZA UKIMWI MWANAFUNZI WA SEKONDARI...TAMWA,LRHC NA TGNP WAMTAKA PRO JUMA KAPUYA AJIUZURU


Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (Tamwa), kwa kushirikiana na Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) na Kituo cha Msaada wa Kisheria (LHRC), kimelaani viongozi wanaotumia madaraka yao, nafasi zao na nguvu zao kisiasa kuwadhalilisha watoto wa kike.
Mashirika hayo yanayotetea haki za wanawake na watoto, yamesema

MUONE KIBIBI KIZEE CHENYE MIAKA 100 KILICHOVUTA SIGARA LAKI 5 HUKU KWA SIKU KIKIVUTA SIGARA 15

DOROTHY HOWE 
Dorothy Howe.
SUSSEX, Uinngereza BIKIZEE wa umri wa miaka 100 ameibuka na kusema kuwa amevuta sigara laki tano tangu akiwa msichana mdogo.


Dorothy Howe ambaye ni katibu muhtasi mstaafu kutoka Uingereza alisema alianza kuvuta sigara tangu akiwa na umri wa miaka 16 na tabia hiyo ameendelea nayo hadi leo.

Alisema kwa kuvuta kwake sigara ametumia pauni 193,000 (zaidi ya sh. milioni 400) ambapo pia hutumia pombe kali aina ya whisky katika maisha yake.

MUONE KIBIBI KIZEE CHENYE MIAKA 100 KILICHOVUTA SIGARA LAKI 5 HUKU KWA SIKU KIKIVUTA SIGARA 15

DOROTHY HOWE 
Dorothy Howe.
SUSSEX, Uinngereza BIKIZEE wa umri wa miaka 100 ameibuka na kusema kuwa amevuta sigara laki tano tangu akiwa msichana mdogo.


Dorothy Howe ambaye ni katibu muhtasi mstaafu kutoka Uingereza alisema alianza kuvuta sigara tangu akiwa na umri wa miaka 16 na tabia hiyo ameendelea nayo hadi leo.

Alisema kwa kuvuta kwake sigara ametumia pauni 193,000 (zaidi ya sh. milioni 400) ambapo pia hutumia pombe kali aina ya whisky katika maisha yake.

BAADA YA KUTISHIWA MAISHA ZITTO KABWE AFUNGUA KESI.


Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mhe. Zitto Kabwe amefungua mashtaka kwa madai kwamba anatishiwa maisha kufuatia hekaya inayoitwa "Ripoti ya siri ya Zitto Kabwe". 




Mbunge huyo amepost picha yake akiwa makao makuu ya polisi Dar es Salaam na kuandika maelezo yafuatyo kupitia ukurasa wake wa facebook:
"Nimetoka makao makuu ya polisi, upelelezi, kuandika statement kuhusu vitisho dhidi yangu kufuatia hekaya inayoitwa "Ripoti ya Siri ya Zitto Kabwe". Chanzo cha hekaya sasa kinabadilishwa kutoka makao makuu ya CHADEMA na kuwa ni usalama wa Taifa au CCM. 



Wahusika waendelee kuhamisha chanzo lakini wajue watasakwa na kukamatwa na kuburuzwa mahakamani. Nimewashitaki kwa kunitishia maisha. Ninawashitaki kwa kunichafua kwa tuhuma za uongo.

KAGASHEKI : TRA WANAHUSIKA BIASHARA YA MENO YA TEMBO

 
Balozi Kagasheki akiwa visiwani Zanzibar katika zoezi la kupakuwa shehena kubwa ya pembe za Tembo zilizokamtwa ikiwa na vipande 1,021 na uzito wa kilo 2,915 ambayo haijawahi kukamatwa nchini, alisema kwamba TRA wanahusika katika ujangili huo kwa sababu wao ndiyo wenye mamlaka ya kuhakikisha kwamba mizigo yote haramu haipiti katika bandari hiyo.

"Katika hili siwezi kumumunya maneno, lazima tu niseme ukweli hata kama wenzetu hawa watakasirika, lakini ukweli ni kwamba hawana pa kukwepea kwani wanahusika kwa asilimia 100 katika ujangili huu, kwa sababu kama watu wasingekuwa na maslahi katika hili kontena lisingekamatiwa hapa Zanzibar, hii ni ishara kwamba TRA wanahusika na kusaidia kulipitisha hadi huku," alisema Balozi Kagasheki.

Thursday, 14 November 2013

HII NDIYO TAARIFA KAMILI KUHUSU AJALI MBAYA ILIYOTOKEA JIONI YA LEO JIRANI NA GETI LA CHUO CHA ARDHI JIJINI DAR.. CHEKI HAPA





Ajali hii imetokea karibu kabisa na geti la chuo cha ardhi Jijini Dar Es Salaam.

Imehusisha gar aina ya costa iliyokuwa imebeba abiria wa kutoka makongo kwenda makumbusho.
Inasadikika kuwa aliyekuwa anaendesha gari hiyo sio dereva bali ni kuli.
Ajali imetokea wakati njemba hiyo ilipotaka kuingia barabara kubwa bila kupunguza mwendo(alitaka alale nayo).

Gari ilipoteza balance na


kuangukia upande wa kulia ambapo iliweza kugonga gari ingine aina ya Prado.
Abiria wameumia vibaya sana na waliweza kukimbizwa hospital haraka.

☆☆NJEMBA YAKIMBIA☆☆
Jamaa huyo baada ya kuangusha gari hiyo alijaribu kukimbia ambapo wanachuo pamoja na madereva boraboda.walimkamata na kuanza kumshushia kipigo lakin police walimuokoa.

☆☆☆KONDA ACHAPA LAPA☆☆☆
Wakati purukushani zinaendelea kondakta alipata upenyo na kutokomea pasipojulikana.





Tuendelee kuwaombea waliopo hospital ili hali zao zikae pouwa..

Mike Tyson akiri kutumia dawa za kulevya kwenye mapambano yake, alitumia u*me wa bandia ili kukwepa vipimo

Tyson ameanika ukweli huo kwenye kitabu chake ‘Undisputed Truth’ ambapo amesema alikuwa anatumia uume wa bandia kukwepa vipimo vya kuangalia kama ametumia madawa ya kulevya ambavyo vilikuwa vinachukuliwa kwa njia ya kupima haja ndogo.
“I had to use my whizzer, which was a fake pen*s where you put in someone’s clean urine to pass your drug test.” Ameandika Tyson.
Mike Tyson amefunguka jinsi alivyokuwa akiwachezesha wapimaji

PICHA::WAISLAMU WAANDAMANA JIJINI DAR ....WAPINGA MAUAJI YA MWENZAO..



Maandamano yalipofika Kigogo Mbuyuni.

Waandamanaji wakiwa na picha ya mmoja wa viongozi wao.
Gari la matangazo.

Monday, 4 November 2013

ANGALIA PICHA YA KIJANA AJINYONGA KUKWEPA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE

 Mwanafunzi  aliyekuwa akisubiri kufanya  mtihani  wa kidato cha nne unaotaraji  kuanza kesho Bw Khamis Mkundo mkazi  wa Mwangata C katika Manispaa  ya Iringa  akiwa amejinyonga  usiku  huu kuhofu  mtihani  wa kidato cha nne
 Mwenyekiti  wa serikali ya mtaa wa Mwangata C Bw Sarehe Mgimwa akisoma ujumbe  ulioachwa na marehemu huyu
 Askari  kanzu  akikagua  mwili wa mwanafunzi  huyo