Dodoma. Baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wametaka
Katiba Mpya iwape haki ya kupiga kura katika chaguzi mbalimbali watu
wenye ulemavu wa akili lakini wana uwezo wa kujitambua.
Katiba Mpya iwape haki ya kupiga kura katika chaguzi mbalimbali watu
wenye ulemavu wa akili lakini wana uwezo wa kujitambua.
Mapendekezo hayo mapya katika sura ya 12
yametolewa leo na Kamati namba saba wakati ambapo kamati mbalimbali
zimeendelea kuwasilisha taarifa za mapendekezo yao katika sura za 12, 13
na 16.
yametolewa leo na Kamati namba saba wakati ambapo kamati mbalimbali
zimeendelea kuwasilisha taarifa za mapendekezo yao katika sura za 12, 13
na 16.
Akiwasilisha maoni ya kamati hiyo, bungeni mjini
Dodoma, Mjumbe wa kamati hiyo, Askofu Amos Mhagache amesema kamati yake
imependekeza pamoja na mambo mengine, kubadilishwa tafsiri ya neno akili
timamu ili kujumuisha watu wenye ulemavu wa akili lakini wanajitambua.
Dodoma, Mjumbe wa kamati hiyo, Askofu Amos Mhagache amesema kamati yake
imependekeza pamoja na mambo mengine, kubadilishwa tafsiri ya neno akili
timamu ili kujumuisha watu wenye ulemavu wa akili lakini wanajitambua.
“Kuongeza ibara ndogo mpya itakayotoa tafsiri ya
maneno ‘akili timamu’ ambayo haitatafsiriwa kumnyima haki ya kupiga kura
mtu mwenye ulemavu wa akili,” alisema Askofu Mhagache.
maneno ‘akili timamu’ ambayo haitatafsiriwa kumnyima haki ya kupiga kura
mtu mwenye ulemavu wa akili,” alisema Askofu Mhagache.
Kwa upande wake mbunge wa Mpanda Mjini ambaye ni
mjumbe wa kamati namba kumi aliibua tena suala la muundo wa serikali
tatu kama ilivyopendekezwa na Tume ya Warioba.
mjumbe wa kamati namba kumi aliibua tena suala la muundo wa serikali
tatu kama ilivyopendekezwa na Tume ya Warioba.
Arfi akisoma maoni ya wachache alipinga kufanyika
kwa mabadiliko ya vifungu vinavyolenga kuwepo kwa mfumo wa serikali
mbili, badala ya mfumo wa serikali tatu, kama rasimu ya katiba
ilivyopendekeza.
kwa mabadiliko ya vifungu vinavyolenga kuwepo kwa mfumo wa serikali
mbili, badala ya mfumo wa serikali tatu, kama rasimu ya katiba
ilivyopendekeza.
Sura nyingine zilizowasilishwa pamoja na
mabadiliko yake, ni pamoja na sura ya 13 inayohusu taasisi za
uwajibikaji, ikiwamo Tume ya Maadili ya Uongozi na Uwajibikaji pamoja na
Tume ya Haki za Binadamu na sura ya 16 inayohusu mambo mengineyo. Chanzo MWANANCHI
mabadiliko yake, ni pamoja na sura ya 13 inayohusu taasisi za
uwajibikaji, ikiwamo Tume ya Maadili ya Uongozi na Uwajibikaji pamoja na
Tume ya Haki za Binadamu na sura ya 16 inayohusu mambo mengineyo. Chanzo MWANANCHI
0 comments:
Post a Comment